wimbo mpya wa roma umefungiwa rasmi
barasa la sanaa tanzania basati limeufungia rasmi wimbo mpya wa msanii wa hip hop tanzania roma mkatoliki uitwao viva roma
BASATA wamesema sababu kubwa ya kuufungia wimbo huo ni kwamba hakuna ushahidi wa mambo yote yalioandikwa ndani ya wimbo huo
baada ya taarifa ya kuungia wimbo huo roma alipost instagram screenshot ya taarifa hiyo na kuandika
''life is not fair!!!!TUNAKUFA MASIKINI KWA KUWATETEA WANYANG'ANYI!!!!!!!!
eeh mungu baba wa mbinguni nisaidie
viva roma
viva roma
viva roma
saa chache baada ya wimbo huo kutoka septemba 9 2015 rapper huyo aliandika kupitia ukurasa wake wa instagrama kua ametishiwa kufungiwa wimbo wake
''wanataka kuufungia wimbo wangu kisa tu nimeongea ukweli''
akaongeza na kusema ''inaniuma sana natamani hata kulia nikiona ukweli haupewi nafasi''
source;john amani
No comments:
Post a Comment