Saturday 26 September 2015

baraza la sanaa tanzania basata limeufungia rasmi wimbo wa viva roma soma hapa

wimbo mpya wa roma umefungiwa rasmi


barasa la sanaa tanzania basati limeufungia rasmi wimbo mpya wa msanii wa hip hop tanzania roma mkatoliki uitwao viva roma

BASATA wamesema sababu kubwa ya kuufungia wimbo huo ni kwamba hakuna ushahidi wa mambo yote yalioandikwa ndani ya wimbo huo

baada ya  taarifa ya kuungia wimbo huo roma alipost instagram screenshot ya taarifa hiyo na kuandika

   ''life is not fair!!!!TUNAKUFA MASIKINI KWA KUWATETEA WANYANG'ANYI!!!!!!!!
eeh mungu baba wa mbinguni nisaidie
viva roma
viva roma
viva roma

saa chache baada ya wimbo huo kutoka septemba 9 2015 rapper huyo aliandika kupitia ukurasa wake wa instagrama kua ametishiwa kufungiwa wimbo wake

''wanataka kuufungia wimbo wangu kisa tu nimeongea ukweli''
akaongeza na kusema ''inaniuma sana natamani hata kulia nikiona ukweli haupewi nafasi''

source;john amani

No comments:

Post a Comment