actually ni nyimbo ambayo imekaa poa sana na shout out ziende kwake i hope dogo atafika mbali
nilipopata chance ya kuzungumza na msanii huyu aliniambia kwambi wimbo huo ni historia ya kweli iliyomkuta katika swala zima la mapenzi,,,,
take ur tym uchek hiyo ngoma ila duh mapenzi hatareeeeee wachina hodareeeee,,,,
No comments:
Post a Comment